Papa Fransisko
From Wikipedia, the free encyclopedia
Papa Fransisko, S.I. (kwa Kilatini Franciscus, jina la awali Jorge Mario Bergoglio) ni askofu wa Roma, na hivyo pia Papa wa Kanisa Katoliki duniani kote, tangu tarehe 13 Machi 2013.
Maelezo zaidi Imani, Muundo ...
Funga
Amemfuata Papa Benedikto XVI akiwa wa 266 katika orodha ya mapapa.