Balozi wa Papa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Balozi wa Papa ni askofu mkuu ambaye anamwakilisha Ukulu mtakatifu katika nchi fulani au nchi kadhaa au muundo wa kimataifa kuhusu mambo ya ndani ya Kanisa Katoliki lakini pia ushirikiano na serikali na jamii nzima.
Maelezo zaidi Imani, Muundo ...
Funga