Tikisa au vibikula ni ndege wa jenasi Motacilla na Dendronanthus katika familia ya Motacillidae.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Tikisa |
Tikisa-majumba (Motacilla aguimp) |
Uainishaji wa kisayansi |
Himaya: |
Animalia (Wanyama)
|
Faila: |
Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
|
Ngeli: |
Aves (Ndege)
|
Oda: |
Passeriformes (Ndege kama shomoro)
|
Familia ya juu: |
Passeroidea
|
Familia: |
Motacillidae (Ndege walio na mnasaba na matikisa) Horsfield, 1821 |
|
Ngazi za chini |
Jenasi 2, spishi 14:
- Dendronanthus Blyth, 1844
- D. indicus (Gmelin, 1789)
- Motacilla Linnaeus, 1758
- M. aguimp Temminck, 1820
- M. alba Linnaeus, 1758
- M. bocagii (Sharpe, 1892)
- M. capensis Linnaeus, 1766
- M.cinerea Tunstall, 1771
- M. citreola [[Peter Simon Pallas}Pallas]], 1776
- M. clara Sharpe, 1908
- M. flava Linnaeus, 1758
- M. flaviventris Hartlaub, 1860
- M. grandis Sharpe, 1885
- M. maderaspatensis Gmelin, 1789
- M.samveasnae Duckworth et al., 2001
- M. tschutschensis Gmelin, 1789
|
Funga
Wana mkia mrefu ambao wanautikisa mara kwa mara. Ndege hao ni wadogo na wembamba na spishi kadhaa zina rangi nzuri.
Hukamata wadudu ardhini na hutaga mayai 4-8 ndani ya kikombe cha nyasi ardhini.