Nikola Kalinić
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nikola Kalinić (alizaliwa 5 Januari 1988) ni mchezaji wa klabu ya Kroatia ambaye anacheza kama mshambuliaji wa klabu ya Hispania iitwayo Atlético Madrid na timu ya taifa ya Kroatia. Kalinić alianza kazi yake na klabu ya Hajduk Split iiliyopo nchini kroatia kabla ya kuhamia Uingereza katika klabu ya Blackburn Rovers kwa £ 6,000,000 mwaka 2009.