Kroatia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kroatia (pia Korasia, kwa Kikroatia: Republika Hrvatska) ni nchi ya Ulaya ya kusini-mashariki. Imepakana na Slovenia, Hungaria, Serbia, Bosnia na Herzegovina na Montenegro.
Ukweli wa haraka
Kroatia |
---|
Funga
Ng'ambo ya kidaka cha Adria iko Italia.
Mji mkuu ni Zagreb.
Kroatia ilikuwa kati ya majimbo ya Yugoslavia na ilipata uhuru wake mwaka 1991.
Imejiunga na Umoja wa Ulaya tarehe 1 Julai 2013.