Slovenia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Slovenia ni nchi ya Ulaya ya Kati, mashariki kwa milima ya Alpi.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: {{{national_motto}}} | |||||
Wimbo wa taifa: Zdravljica | |||||
Mji mkuu | Lyublyana 46°03′ N 14°30′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Lyublyana | ||||
Lugha rasmi | Kislovenia, Kiitalia1, Kihungaria1 | ||||
Serikali | Jamhuri Borut Pahor Janez Janša | ||||
Uhuru imetangazwa |
25. Juni 1991 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
20,273 km² (ya 154) 0.6% | ||||
Idadi ya watu - Julai 2014 kadirio - 2002 sensa - Msongamano wa watu |
2,061,085 (ya 144) 1,964,036 101/km² (ya 106) | ||||
Fedha | Euro (EUR) tangu tarehe 1.1.2007 (SIT ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
CET (UTC+1) CEST (UTC+2) | ||||
Intaneti TLD | .si | ||||
Kodi ya simu | +386
- | ||||
1 Katika miji yenye watu wengi wa utamaduni wa Kiitalia au Kihungaria. |
Funga
Imepakana na Italia, ghuba ya Adria ya bahari ya Mediteranea, Kroatia, Hungaria na Austria.
Mji mkuu pia mji mkubwa ni Lyublyana (kwa Kislovenia: Ljubljana).
Ni mwanachama wa Umoja wa Mataifa na wa Umoja wa Ulaya.