Zimbabwe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jamhuri ya Zimbabwe (iliyojulikana wakati wa ukoloni kama Rhodesia ya Kusini) ni nchi isiyo na bahari iliyoko upande wa kusini wa Bara la Afrika, kati ya mto Zambezi na mto Limpopo.
| |||||
Kaulimbiu ya Taifa Unity, Freedom, Work (Kiingereza: Umoja, Uhuru, Kazi) " | | |||||
Wimbo wa Taifa | |||||
Location of Zimbabwe | |||||
Lugha rasmi | Kiingereza na 15 nyingine | ||||
Mji Mkuu | Harare | ||||
Mji mkubwa | Harare | ||||
Rais | Emmerson Mnangagwa | ||||
Eneo - Jumla -Maji -Eneo kadiriwa |
km² 390,757 1% ya 60 duniani | ||||
Umma - Kadirio - Sensa, - Msongamano wa watu |
15,178,979 ya 66 duniani (2022) ; 32/km² ; ya duniani | ||||
Chumo cha uchumi - Jumla - kwa kipimo cha umma |
$24.99 billion (Orotha ya nchi GDP (kidogo)) $2,100 (Orodha ya nchi kulingana na GDP kwa umma) | ||||
Uhuru - Kadirifu - Barabara |
(kama Rhodesia) 11 Novemba 1965 (kama Zimbabwe) 18 Aprili 1980 | ||||
Fedha | Dolar ya Marekani| | ||||
Saa za Eneo | UTC +2 | ||||
Intaneti TLD | .zw | ||||
kodi za simu | 263 |
Imepakana na Afrika ya Kusini upande wa kusini, Botswana upande wa magharibi, Zambia upande wa kaskazini-mashariki, na Msumbiji upande wa mashariki.