Walowezi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Walowezi (kutoka kitenzi "kulowea"; pia: setla, kutoka Kiingereza "settler") ni watu ambao wamehamia katika eneo fulani na kuanzisha makazi ya kudumu pale, hata mara nyingi kulitwaa eneo hilo. Makazi mara nyingi hujengwa kwenye ardhi ambayo inadaiwa au inayomilikiwa na watu wengine.
Wao wenyewe wakati mwingine huondoka katika kujitafutia riziki au uhuru wa dini[1].
Mara nyingine walowezi huungwa mkono na serikali au nchi kubwa au tajiri[2].