Wakopti
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wakopti (au Wakhufti) ni Wakristo asili wa Misri, ambao wanafuata madhehebu ya pekee katika kundi la Makanisa ya Kiorthodoksi ya Mashariki na wanaunda kundi kubwa zaidi la wakazi wasio Waislamu katika nchi hiyo[1][2][3][4][5][6] .
Patriarki wao ni Papa Tawadros II, akiwa na makao makuu jijini Cairo.