Msonobari
From Wikipedia, the free encyclopedia
Msonobari (pia msunobari au msindano) ndilo jina la kawaida la miti na vichaka ya familia Pinaceae, lakini majina mengine hutumika pia kwa spishi za jenasi fulani, k.m. mberoshi (Abies), msedra (Cedrus), mteashuri (Larix) na msprusi (Picea). Miti hii huitwa mikoni pia, pamoja na spishi nyingine za oda Pinales, kwa sababu matunda yao yana umbo la koni. Kwa lugha nyingine huitwa “miti-sindano”, kwa sababu majani ya spishi nyingi yana umbo la sindano.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Msonobari | ||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Msonobari mweusi (Pinus nigra)
Koni ya kike iliyojifungua | ||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||
| ||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||
Jenasi 11: |
Funga