Kasiani wa Tanja
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kasiani wa Tanja alikuwa Mkristo wa Moroko aliyefia dini yake kwa kukatwa kichwa katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano. Tarehe inayotajwa na mapokeo ni 3 Desemba 298[1][2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.