Shoronjano
From Wikipedia, the free encyclopedia
Shoronjano ni ndege wadogo wa jenasi Arundinax, Calamonastides na Iduna katika familia Acrocephalidae. Spishi nyingine za familia hii zinaitwa shoro kwa ufupi. Ndege hawa wana rangi ya kahawa mgongoni na njano chini. Wanatokea misitu au mabwawa ya mafunjo (Shoronjano domo-jembamba) ya Afrika. Hula wadudu. Hujenga tago lao kwa umbo wa kikombe au kikapu kwa majani na pengine vijiti. Tago la kibwirosagi domo-jembamba limefungika mabua ya mafunjo. Jike huyataga mayai 2-6.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Shoronjano | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Shoronjano utosi-mweupe | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Jenasi 3, spishi 8 za shoronjano:
| ||||||||||||||
Funga