Agnes wa Asizi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Agnes wa Asizi (Assisi 1197 au 1198 - Assisi 16 Novemba 1253) alikuwa mdogo wa kwanza wa Klara wa Asizi.
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu bikira.
Agnes wa Asizi (Assisi 1197 au 1198 - Assisi 16 Novemba 1253) alikuwa mdogo wa kwanza wa Klara wa Asizi.
Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu bikira.