Wavisigoti
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wavisigoti (yaani Wagoti wa Magharibi) walikuwa kabila la Kigermanik, ambalo pamoja na Waostrogoti, walichangia sana anguko la Dola la Roma na mwanzo wa Karne za Kati Ulaya.
Wavisigoti (yaani Wagoti wa Magharibi) walikuwa kabila la Kigermanik, ambalo pamoja na Waostrogoti, walichangia sana anguko la Dola la Roma na mwanzo wa Karne za Kati Ulaya.