Wagoti
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wagoti (kwa Kigoti: Gutþiuda; kwa Kilatini: Gothi) walikuwa kabila la Kigermanik, ambalo matawi yake mawili, Wavisigoti na Waostrogoti, walichangia sana anguko la Dola la Roma na mwanzo wa Karne za Kati Ulaya.