Wamuwahidun
From Wikipedia, the free encyclopedia
Wamuwahidun (kwa Kiing.: Almohad kutoka Kiarabu: al-muwahhidun, yaani "Wanaomwamini Mungu mmoja") walikuwa nasaba ya Waberberi Waislamu waliotawala Afrika ya Kaskazini kutoka bahari Atlantiki hadi Libya pamoja na Al-Andalus yaani kusini mwa Hispania.