Visensya Gerosa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Visensya Gerosa (kwa Kiitalia Vincenza Gerosa; (29 Oktoba 1784 – 20 Juni 1847) alikuwa mwanamke wa Italia kaskazini ambaye, pamoja na Bartolomea Capitanio, alianzisha shirika la Masista wa Upendo wa Lovere, ambao kwa kawaida wanaitwa Masista wa mtoto Maria[1].