Vienna
From Wikipedia, the free encyclopedia
Vienna (kwa Kijerumani: Wien) ni mji mkuu na mji mkubwa wa Austria. Uko mashariki mwa nchi, kando ya mto Danubi.
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Vienna | |||
| |||
Mahali pa mji wa Vienna katika Austria |
|||
Majiranukta: 48°12′0″N 16°22′0″E | |||
Nchi | Austria | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Vienna | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 1,680,000 | ||
Tovuti: www.wien.gv.at |
Funga
Idadi ya wakazi imezidi milioni moja na lakhi tisa[1].
Vienna ina cheo cha jimbo ndani ya shirikisho la jamhuri ya Austria.