Papa Sergio II
From Wikipedia, the free encyclopedia
Papa Sergio II alikuwa Papa kuanzia tarehe 25 Januari 844 hadi kifo chake tarehe 27 Januari 847[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].
Alimfuata Papa Gregori IV akafuatwa na Papa Leo IV.
Papa Sergio II alikuwa Papa kuanzia tarehe 25 Januari 844 hadi kifo chake tarehe 27 Januari 847[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].
Alimfuata Papa Gregori IV akafuatwa na Papa Leo IV.