Paka
From Wikipedia, the free encyclopedia
Paka ni wanyama mbuai wa nusufamilia Felinae katika familia Felidae. Spishi nyingine zinaitwa duma, simbamangu na mondo. Nyingi ni ndogo kama paka-kaya lakini spishi kama duma, linksi na puma ni kubwa zaidi sana. Isipokuwa simbamangu, Asian golden cat, puma na pengine paka-msitu, paka wote wana milia na/au madoa. Paka hukamata mawindo aina yo yote lakini ukubwa wa mawindo unafuatana na ukubwa wa spishi ya paka. Spishi nyingine zinatokea msitu na nyingine zinatokea maeneo wazi.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Paka | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Paka miguu-myeusi | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Jenasi 10: | ||||||||||||||
Funga