Nyota na hilali
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nyota na hilali ni ishara yenye historia ndefu inayochukuliwa leo mara nyingi kama ishara ya Uislamu [1]. Hii inatokana na matumizi yake katika bendera za Milki ya Osmani tangu karne ya 19[2]. Lakini historia yake ni ndefu na Waosmani waliipokea tayari kutoka milki ya Kikristo ya Bizanti.