Nikola wa Flue
From Wikipedia, the free encyclopedia
Nikola wa Flue (kwa Kijerumani: Niklaus von Flüe; Unterwalden, Uswisi, 1417 - Sachseln, 21 Machi, 1487) alikuwa Mkristo anaheshimiwa na Wakatoliki na Waprotestanti kama msimamizi wa Uswisi kwa kuepusha vita kati ya majimbo yake[1] na hivyo kudumisha umoja wake[2].
Alitangazwa mwenye heri mwaka 1669, halafu mtakatifu mwaka 1947 na Papa Pius XII[3].