Newcastle upon Tyne
From Wikipedia, the free encyclopedia
Newcastle ni mji wa Uingereza ulio kando ya mto Tyne. Mji una watu wengi: takriban wakazi 271,600 wanaishi mjini huko.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Newcastle upon Tyne | |
Mahali pa mji wa Newcastle upon Tyne katika Uingereza |
|
Majiranukta: 54°58′0″N 1°36′0″W | |
Nchi | Uingereza |
---|---|
Mkoa | Uingereza Kaskazini-Mashariki |
Wilaya | Tyne na Wear |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 271,600 |
Tovuti: www.newcastle.gov.uk |
Funga
Jiji hili lilikua baada ya kuongozwa na Waroma na likaitwa the Castle na Robert Curthose.