Mtume Andrea
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mtume Andrea alikuwa Myahudi wa karne ya 1, mmoja kati ya wawili wa kwanza kati ya Mitume wa Yesu.
Maelezo zaidi Mitume wa Yesu ...
Mitume wa Yesu |
---|
|
Funga
Maelezo zaidi Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu, Mazingira ya Yesu ...
Funga
Anaheshimiwa na Wakristo wote kama mtakatifu, hasa tarehe 30 Novemba iliyo sikukuu yake[1].
Ni msimamizi wa Uskoti, Russia, Ugiriki, Romania, Malta, Prussia, na wa mabaharia, wavuvi, na waimbaji.