Mreteni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mireteni ni miti yenye koni ya jenasi Juniperus katika familia Cupressaceae ya oda Pinales (mikoni) ambayo koni zao zina nyama.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Mreteni | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mreteni mashariki (Juniperus procera) | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Spishi 67, 6 katika Afrika:
|
Funga
Miti hiyo inasambaa kwa upana kupitia Nusudunia ya Kaskazini kutoka Aktiki kuelekea kusini mpaka Afrika ya Kaskazini, Uturuki, Pakistani, Tibet, Japani na Amerika ya Kati. Spishi moja, mreteni mashariki (Juniperus procera), inapatikana chini ya Sahara. Misitu ya mireteni juu kabisa inapatikana kwa mwinuko wa m 4900 katika kaskazini kwa Himalaya inayoumba mmoja ya mipaka ya miti ya kimo juu kabisa duniani.