Mikaeli Garicoits
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mikaeli Garicoits (kwa Kieuskara Mixel Garikoitz, kwa Kifaransa Michel Garicoïts), alikuwa padri wa Ufaransa mwenye asili ya Kibaski (Ibarre, 15 Aprili 1797 - Betharram, 14 Mei 1863)
Papa Pius XI alimtangaza kuwa mwenye heri tarehe 15 Machi 1923, halafu papa Pius XII kuwa mtakatifu tarehe 6 Julai 1947.
Sikukuu yake huadhimishwa siku ya kifo chake, tarehe 14 Mei[1].