Mal Waldron
From Wikipedia, the free encyclopedia
Malcolm Earl "Mal" Waldron (16 Agosti 1925 - 2 Desemba 2002) alikuwa mpiga kinanda, mshairi wa nchini Marekani. Alianza kupiga kinanda katika mji wa New York mwaka 1950, baada ya kuhitimu kutoka chuo. Katika miaka kadhaa iliyofuata, Waldron aliongoza bendi zake na alishiriki katika bendi nyingine zilizoongozwa na Charles Mingus, Jackie McLean, John Coltrane, n na Eric Dolphy.
Wakati wa kipindi Waldron akiwa mpiga kinanda wa studio za Prestige Records mwaka 1950 na alionekana katika albamu kadhaa. Waldron aliandika wimbo wake maarufu zaidi unaojulikana kam "Soul Eyes", kwa ajili ya Coltrane. Katika wasifu wake wa miaka 50, Waldron alirekodi zaidi ya albamu 100 chini ya jina lake mwenyewe na zaidi ya 70 kwa viongozi wengine wa bendi. Waldron mara kwa mara alikuwa mtunzi wa sauti, na alikuwa mtangazaji wa kawaida wa Billie Holiday kuanzia Aprili 1957 hadi kifo chake mnamo Julai 1959. Anafahamika sana kwa sauti zake kali za vichekesho na staili tofauti za uchezaji.[1]