Laudo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Laudo (alifariki karne ya 6) alikuwa askofu wa Coutances, kaskazini mwa Ufaransa[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Septemba[2][3].
Laudo (alifariki karne ya 6) alikuwa askofu wa Coutances, kaskazini mwa Ufaransa[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Septemba[2][3].