Klaudi wa Condat
From Wikipedia, the free encyclopedia
Klaudi wa Condat (au wa Besancon; Bracon, Jura, karibu Salins-les-Bains, Ufaransa, 607 hivi - 6 Juni 696 au 699) alikuwa padri, halafu mmonaki aliyepata kuwa abati wa Condat na hatimaye askofu wa Besancon, maarufu kwa miujiza[1][2].
Ukweli wa haraka Nchi, Kazi yake ...
Funga
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.