Kiriako mkaapweke
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiriako mkaapweke (kwa Kigiriki: Ὅσιος Κυριάκος ὁ Ἀναχωρητής, Hosios Kyriakos ho Anachōrētēs[1]
; Korintho, Ugiriki, 9 Januari 449 - Pango la Mt. Chariton, Palestina, 557) alikuwa mmonaki kwa muda wa miaka 90 hivi.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Septemba[2] au 10 Novemba.