Kandamseto
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kandamseto au kanda-iliyofanywa-mseto ni ainasafu ya jina lililotolewa kwa ajili ya nyimbo mchanganyiko zilizorekodiwa katika muundo wa sauti.[1]
Kandamseto, ambayo kikawaida hutumika kama jaribio la kimuziki kwa muandaaji wake, inaweza kupangwa kutoka katika orodha ya nyimbo anazozipenda, hadi mseto wa dhana ya nyimbo zinazofungamana na fasihi au hali ya kutaka kitu kile ambacho mlewanga anataka kusikiliza. [2] Kandamseto, nayo huhesabiwa kama sehemu ya utamaduni wa hip hop.