Jenerali
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jenerali ni cheo kikuu cha kijeshi katika nchi nyingi za dunia. Jenerali huwa kiongozi wa ngazi ya juu katika jeshi.
Idadi ya majenerali si kubwa. Kazi yao ni kuongoza na kupanga kazi ya jeshi. Kwa kawaida hawashiriki wenyewe katika mapigano.
Neno limeingia katika Kiswahili kutoka lugha ya Kiingereza. Asili yake ni Kilatini "generalis" yenye maana ya "kwa ujumla".
Maelezo zaidi Vyeo vya kijeshi - Tanzania ...
Vyeo vya kijeshi - Tanzania | ||
---|---|---|
Jenerali * Luteni Jenerali * Meja Jenerali * Brigedia * Kanali * Luteni Kanali * Meja * Kapteni * Luteni * Luteni-usu Afisa Mteule Daraja la Kwanza * Afisa Mteule Daraja la Pili * Sajinitaji * Sajenti * Koplo * Koplo-usu |
Funga
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |