Gertrudi wa Thuringia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mtakatifu Gertrudi (pia: Getrudi Mkuu; 1256 – 17 Novemba 1301) alikuwa mmonaki wa kike wa monasteri ya Helfta nchini Ujerumani.
Ametambuliwa na Kanisa Katoliki kuwa mtakatifu kama bikira.
Sikukuu yake ni tarehe 16 Novemba[1].