Fidelis wa Sigmaringen
From Wikipedia, the free encyclopedia
Fidelis wa Sigmaringen (1578 – 24 Aprili 1622) alikuwa padri mtawa wa shirika la Ndugu Wadogo, katika tawi la Wakapuchini.
Ametambuliwa na Papa Benedikto XIII kuwa mwenye heri tarehe 24 Machi 1729, halafu Papa Benedikto XIV alimtangaza kuwa mtakatifu mfiadini tarehe 29 Juni 1746.