Banjul
From Wikipedia, the free encyclopedia
Banjul ni mji mkuu wa Gambia. Mji wenyewe una wakazi 34,828 pekee[1] lakini pamoja na mitaa ya nje ni zaidi ya nusu milioni.
Ukweli wa haraka Nchi, Mji ...
Jiji la Banjul | |
Nchi | Gambia |
---|---|
Mji | Banjul |
Wilaya | Banjul |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 357 238 |
Funga
Banjul iko kwenye kisiwa cha Mt. Mariamu (au: Kisiwa cha Banjul) mdomoni mwa mto Gambia unapoishia katika bahari ya Atlantiki.