Angela Merichi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Angela Merichi (21 Machi 1474 – 27 Januari 1540) alikuwa mtawa nchini Italia.
Ametambuliwa na Kanisa Katoliki kuwa mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 27 Januari[1].
Angela Merichi (21 Machi 1474 – 27 Januari 1540) alikuwa mtawa nchini Italia.
Ametambuliwa na Kanisa Katoliki kuwa mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 27 Januari[1].