Victoria (Shelisheli)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Victoria ni mji mkuu wa Shelisheli. Iko kwenye kisiwa cha Mahe ikiwa na wakazi 24,702.
Bandari ya Victoria ni kitovu cha biashara ya kimataifa cha nchi.
Victoria ni mji mkuu wa Shelisheli. Iko kwenye kisiwa cha Mahe ikiwa na wakazi 24,702.
Bandari ya Victoria ni kitovu cha biashara ya kimataifa cha nchi.