Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1988
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1988 ulikuwa wa 51 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 8 Novemba. Upande wa "Republican Party", mgombea George H. Bush (pamoja na kaimu wake Dan Quayle) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Michael Dukakis (pamoja na kaimu wake Lloyd Bentsen).