Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1948
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1948 ulikuwa wa 41 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 2 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Rais Harry S. Truman (pamoja na kaimu wake Alben Barkley) aliwashinda mgombea wa "Republican Party" Thomas E. Dewey (pamoja na kaimu wake Earl Warren) na mgombea Strom Thurmond (pamoja na kaimu wake Fielding L. Wright).