Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1928
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1928 ulikuwa wa 36 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 6 Novemba. Upande wa "Republican Party", Herbert Hoover (pamoja na kaimu wake Charles Curtis) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Al Smith (pamoja na kaimu wake Joseph T. Robinson).