Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1900
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1900 ulikuwa wa 29 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 6 Novemba. Upande wa "Republican Party", Rais William McKinley (pamoja na kaimu wake Theodore Roosevelt) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" William Jennings Bryan (pamoja na kaimu wake Adlai Stevenson).