Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1884
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1884 ulikuwa wa 25 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 4 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Grover Cleveland (pamoja na kaimu wake Thomas Hendricks) alimshinda mgombea wa "Republican Party" James Blaine (pamoja na kaimu wake John Logan).