Uchaguzi wa Rais wa Marekani, 1872
From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1872 ulikuwa wa 22 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 5 Novemba. Upande wa "Republican Party", Rais Ulysses Grant (pamoja na kaimu wake Henry Wilson) alimshinda mgombea wa "Democratic Party" Horace Greeley (pamoja na kaimu wake Benjamin Brown).