Thuringia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Thuringia (Kijerumani: Thüringen) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 2,251 kwenye eneo la 16.172 km². Mji mkuu ni Erfurt. Waziri mkuu ni Bodo Ramelow (Die Linke).
Thuringia (Kijerumani: Thüringen) ni moja ya majimbo 16 ya kujitawala ya Ujerumani lenye wakazi milioni 2,251 kwenye eneo la 16.172 km². Mji mkuu ni Erfurt. Waziri mkuu ni Bodo Ramelow (Die Linke).