Slothi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Slothi (kutoka Kiing.: sloth) au wavivu-miti ni mamalia wa ukubwa wastani wa familia Choloepodidae (slothi wenye vidole viwili) na Bradypodidae (slothi wenye vidole vitatu) wanaoainishwa katika spishi sita. Ni wana wa oda Pilosa na kwa hivyo huwa uhusiano na armadilo na walasisimizi walio na kucha sawa na zile za slothi. Spishi zinazopo hadu sasa huishi mitini mwa misitu mizito ya Amerika ya Kati na ya Kusini, na hujulikana kwa kusonga polepole, kwa hivyo walipewa jina la slothi ambalo kwa Kiingereza lina maana ya "mvivu", au kwa Kiswahili mvivu-miti.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Slothi | ||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Slothi koo-kahawia mwenye vidole vitatu Bradypus variegatus | ||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||
| ||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||
Familia 2, jenasi 2, spishi 6:
| ||||||||||||
Funga