Rancagua
From Wikipedia, the free encyclopedia
Rancagua ni jina la mji mkuu wa mkoa wa O'Higgins katika Chile. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2002, mji una wakazi wapatao 220,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 572 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Rancagua | |
Majiranukta: 34°10′00″S 70°45′00″W | |
Nchi | Chile |
---|---|
Mkoa | O'Higgins |
Wilaya | Cachapoal |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 214,344 |
Tovuti: www.rancagua.cl/ |
Funga