Primata
From Wikipedia, the free encyclopedia
Primata ni jina la kitaalamu la kundi takriban spishi 400 za mamalia wanaojumlisha lemuri, nyani na sokwe wote pamoja na binadamu.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Primata | ||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Nyani wa kawaida, kima wa Dunia ya Kale | ||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||
| ||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||
Nusuoda 2, oda za chini 4:
| ||||||||||
Funga
Wote huwa na mikono yenye vidole 5 na kucha na wanafanana na binadamu kwa namna fulani katika mengine kadhaa. Tofauti muhimu ni lugha.
Wanahesabiwa kuwa na vikundi au nusuoda 2: