Panda
ukarasa wa maana wa Wikimedia / From Wikipedia, the free encyclopedia
Panda ni neno la Kiswahili linaloweza kumaanisha:
- Panda (kitenzi) – Ni tendo la kukwea katika miti.
- Panda (kitenzi) – Ni tendo la kuingia katika vyombo vya usafiri kwa mfano gari, pikipiki au baiskeli.
- Panda (kitenzi) – Ni tendo la kufukia mbegu ardhini katika kilimo.
- Panda (tawi) - matawi kama uma.
- Panda (muziki) - aina ya tarumbeta.
- Panda (mnyama) – wanyama wa porini: Panda Mkubwa na Panda Mwekundu katika oda Carnivora ambao hutokea Uchina na Himalaya.
Ukurasa huu una maelezo ya maana ili kutofautisha nia mbalimbali zinazolengwa na neno moja. Kwa usaidizi kuhusu makala za aina hii tazama Msaada:Maana
Maelezo katika ukurasa huu yawe mafupi, na kwa kila maana kuwe na kiungo kimoja tu ambacho kiunge ukurasa kuhusu nia yenye maana hii. Ukiwa umefika hapa kwa kutumia kiungo katika makala nyingine, tafadhali badalisha kiungo kile kiunge makala iliyokusudiwa moja kwa moja. |