Messina
From Wikipedia, the free encyclopedia
Messina ni mji wa Italia katika mkoa wa Sisilia. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 250,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo mita 3 kutoka juu ya usawa wa bahari. Ina bandari muhimu.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Messina | |
Majiranukta: 38°11′00″N 15°33′00″E | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Sisilia |
Wilaya | Messina |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 243,315 |
Tovuti: www.comune.messina.it |
Funga