Mcheri
From Wikipedia, the free encyclopedia
Micheri ni miti ya jenasi Prunus, na nusujenasi Cerasus. Matunda yao huitwa cheri. Kuna spishi nyingi za micheri, lakini mbili tu hupandwa sana katika Ulaya na Asia na pia katika Amerika, Australia na Afrika ya Kaskazini-magharibi: mcheri mtamu (Prunus avium) na mcheri mchachu (P. cerasus).
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mcheri (Prunus spp.) | ||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mcheri uliotoa maua | ||||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||||
|
Funga